Na,Nishan khamis.
Mgombea uwakilishi jimbo la Nungwi Kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt Salum Soud amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa kuwa mwakilishi jimbo hilo atahakikisha anasimamia changamoto zote katika elimu, afya,kijamii na kiuchumi ili kupeleka mbele maendeleo ya jimbo hilo.
