Popular services

FAKI JAHA ACHUKUA FOMU YA UWAKILISHI JIMBO LA MKWAJUNI.

 Bakari Jaha Muhidini (Faki Jaha) amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Uwakilishi  Jimbo la Mkwajuni wilaya ya kaskazini A Unguja katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.