Popular services

BHAGWANJI ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA KIJINI.

 BHAGWANJI M. MESURIA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA KIJINI

Mfanyabiashara na mwana jamii anayejulikana  Bhagwanji M. Mesuria, amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).