Popular services

MATOKEO YA UCHAGUZI WA UBUNGE NA UWAKILISHI UWT – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

 MATOKEO YA UCHAGUZI WA UBUNGE NA UWAKILISHI UWT – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Na,Nishan khamis kaskazini Unguja. 

Chama cha Wanawake wa Tanzania (UWT) mkoa wa Kaskazini Unguja kimeendesha uchaguzi wa kuwapata wawakilishi wake kwa nafasi za Ubunge na Uwakilishi, ambapo jumla ya wagombea sita walishiriki katika kila kundi.


Nafasi ya Ubunge:

Wagombea: 6

Jumla ya kura zilizopigwa: 1,279

Kura halali: 1,272

Kura zilizoharibika: 7

Matokeo ya Ubunge ni kama ifuatavyo:

Shadya Haji Omar Kher – kura 923

Tamima Haji Abas – kura 581

Sada kura 563

Sheha – kura 296

Pili Bakar – kura 150

Aziza [ kura 30

Nafasi ya Uwakilishi:

Wagombea: 6

Jumla ya kura zilizopigwa: 1,257

Kura halali: 1,254

Kura zilizoharibika: 3

Matokeo ya Uwakilishi ni kama ifuatavyo:

Riziki Pemba Juma – kura 904

wajuma Kasim – kura 753

Khadija Salmin – kura 303

Fatma Hamza – kura 276

Mtumwa Ameir – kura 233

Ummu Kulthum – kura 36

Uchaguzi huu umefanyika kwa amani na utulivu, huku ukizingatia kanuni na sheria zinazosimamia uchaguzi ndani ya chama.